Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Agundua kuishi bila sehemu za siri kwa miaka 17

Tuesday , 7th Jan , 2020

Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Julian Peters (29), amesema aligundua anaishi bila kuwa na mfumo wa uzazi wa mwanamke, wakati akiwa na umri wa miaka 17.

Picha ya mwanamke huyo asiyekuwa na sehemu za uzazi

Mwanamke huyo amesema anaishi bila ya uke, kizazi na mfuko wa uzazi kama walivyo wanawake wengine na ameshahangaika katika hospitali ili kutatua tatizo hilo ila kwa bahati mbaya ameambiwa amezaliwa hivyo bila ya kuwa na mfumo wa uzazi wa mwanamke.

Julian Peters amesema ameelewa na amekubaliana na hali hiyo, japokuwa jamii hufikiria vibaya na kuhusisha jambo hilo na imani za kishirikina au kutuhumiwa tatizo hilo limekuja baada ya kutoa mimba.

Akizungumzia suala la mahusiano na hali yake ilivyo amesema  "Kwa hali yangu, nipo tayari kwa chochote na nipo tayari kuwa na yeyote atakayetaka, pia kwa yeyote atayetaka kuondoka kuwa kwenye mahusiano na mimi namuacha aende."

Aidha Julian Peters amewashauri wanawake wengine, wenye hali kama yake kwa kusema wajipende wenyewe na wajue kama Mungu anawapenda sana, na jamii isiwalazimishe kujua kitu gani kilichowakuta kwenye maisha yao.

Source Tuko News.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali