Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serena Williams miaka 3 kavu, miaka 38 ya umri

Monday , 13th Jan , 2020

Serena Williams miaka 3 bila taji, miaka 38 ya umri, taji la kwanza akiwa mama, ushindi wake autoa msaada.

Serena Williams akiwa na taji lake la WTA Auckland Classic pamoja na familia yake.

Nguli wa mchezo wa tenisi kwa wanawake Serena Williams, amefanikiwa kuchukua taji la michuano ya wazi ya WTA Auckland Classic baada ya jana Januari 12,2020 kushinda fainali kwa seti 6-3, 6-4 dhidi ya Jessica Pegula.

Taji hilo ni la kwanza kwa Serena baada ya miaka mitatu kupita tangu aliposhinda michuano ya wazi ya Australia mwaka 2017.

Pia taji hilo ni kwanza kwa Serena tangu alipopata mtoto wake Alexis Olympia, Septemba 1, 2017.

Serena Williams akiwa na taji lake la WTA Auckland Classic

Na sasa akiwa na umri wa miaka 38, amefikisha mataji 73 yanayotambulika na shirikisho la tenisi kwa wanawake WTA.

Pia amecheza na kushinda mataji ndani ya miongo minne ambapo kwa mara ya kwanza alishinda ubingwa mwaka 1999.

ATOA MSAADA 

Baada ya kushinda ubingwa huo, Serena ametoa kiasi cha $43 000 zaidi ya shilingi milioni 90 kwa wahanga wa janga la moto kule nchini Australia ambapo ndio alichukua ubingwa wake wa mwisho mwaka 2017.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava