Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Johari atangaza kufunga ndoa hivi karibuni

Thursday , 16th Jan , 2020

Msanii wa filamu Johari Chagula, amesema siku ya ndoa yake atatamani asherehekee na mashabiki zake kwa sababu wamechangia vitu vingi hadi kufika hapo alipo kwa sasa.

Msanii wa filamu Johari

Akipiga stori na Big Chawa kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa, kuanzia 7:00 mchana hadi 10:00 jioni, Johari amesema kwa sasa yupo kwenye mahusiano rasmi na mtu ambaye ana malengo naye.

"Ni kweli nipo kwenye mahusinao, tuombe Mungu ikifika haina shida na kila kitu kitawekwa wazi, harusi yangu nitahitaji sana kusheherekea na mashabiki zangu kwa sababu wamechangia vitu vingi hadi mimi kufikia hapa, siwezi kuwaambia harusi yangu itakuwa lini ila itakapofika nitawaambia" amesema Johari.

Aidha Johari amesema kamwe hataweza kumchora mtu yeyote Tattoo, hata kama atakuwa ni mpenzi wake kwa sababu ameshindwa kufanya hivyo hata kwa wazazi wake.

"Mimi sina tattoo yoyote mwilini mwangu na sijawahi kuchora, sikumchora Baba yangu na Mama yangu ambao wamenileta duniani, halafu nichore kwa mtu niliyemkuta chini ya jua, kiukweli sijawahi kuona mtu wa kumchora".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava