Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Hata pesa imeshindwa kutugombanisha"-Oka Martin 

Friday , 17th Jan , 2020

Wachekeshaji wawili wanaofanya vizuri mitandaoni, Oka Martin na Official Carpoza, wamesema hawajawahi kugombana kwenye maisha yao na urafiki wao hauwezi ukafa kwa sababu ya pesa au mapenzi.

Wachekeshaji Oka Martin upande wa kushoto,kulia ni Official Carpoza

Wakipiga stori na EATV & EA Radio Digital wameeleza kuwa, wao sio rahisi kugombana japokuwa huwa kuna kupishana kauli za hapa na pale ila wanawekana sawa maisha yanaendelea.

"Hatujawahi kugombana na sio rahisi na kingine hata pesa pia imeshindwa kutugombanisha, kwa sababu mimi ninaweza nikawa na pesa na yeye akalijua hilo, lakini naweza nikamuomba nizitumie pesa zake na bado akanipa" amesema Official Carpoza.

Aidha kwa upande wa Oka Martin ameongeza kusema "Huwa hatugombani ila tunapishanaga kauli  kwa sababu mmoja wetu anaweza akawa ameamka na mood mbaya ila uzuri ni kwamba tunafahamiana, kuna wakati ni kweli unakasirika na unashikwa na kitu ila tunaambiana tuache ujinga tunanuniana kwa sababu gani".

Pia wamesema walianza kuwa marafiki na wasanii wa muziki, kabla ya kuingia kufanya vichekecho ambavyo ndiyo vimewatambulisha zaidi kwa watu.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto