Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Eti Mkuu na huku, nitafyeka vichwa vyenu' -Mwanri

Friday , 17th Jan , 2020

Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri, amesema hana mpango wa kuwavumilia baadhi ya  Maafisa watendaji wa Mitaa wazembe, waliopo katika Manisipaa ya Tabora.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri.

RC Mwanri amesema kuwa amejipanga kuwatimua hii ni kutokana na wao kushindwa kutambua wajibu wao, ikiwemo kutosimamia na kudhibiti uharibifu wa mazingira na miundombinu yake, ambao umekuwa ukifanywa na wananchi ndani ya Mji huo.

"Imefikia hatua mmepauka 'you have got no modal authority' ya kusimama mbele ya watu na kuwaambia hili jambo haliwezekani, mnabaki tu kuagiza Mkuu njoo na huku bwana, hakuna cha Mkuu njoo na huku bwana, wote nafyeka vichwa vyao" amesema RC Mwanri.

Aidha RC Mwanri amesema hakubaliani na hali ya watendaji hao kushindwa kuwa na namna  nzuri ya kutatua kero ndogondogo za wananchi, mpaka aitwe Mkuu wa Mkoa.
 
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya