Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Singida United ni kiboko, yasajili kikosi kizima 

Friday , 17th Jan , 2020

Ikiwa ziimepita siku mbili tangu dirisha dogo la usajili Tanzania kufungwa, tumeshuhudia klabu kadhaa zikifanya mabadiliko ya vikosi yao kwa kuongeza baadhi ya wachezaji na kuwaleta wengine wa kuziba nafasi hizo.

Baadhi ya wachezaji wa Singida United

Klabu kubwa za Tanzania, Azam FC, Yanga na Simba zimefanya mabadiliko kadhaa ya vikosi vyao, ambapo Yanga imesajili wachezaji sita wapya, Simba ikisajili wachezaji wawili na Azam FC ikisajili wachezaji wawili.

Klabu ya Singida United imetia fora kwenye dirisha hili la usajili, ikiwa imesajili jumla ya wachezaji 11 ili kuongeza nguvu kwenye kikosi chao baada ya kugundua kuwa katika mzunguko wa kwanza kikosi chao kilikuwa dhaifu kwani kilikuwa na vijana wengi.

Wachezaji waliosajiliwa na Singida United ni George Sangija, Raphael Daud, Haruna Moshi Boban, Tumba Swedi, Haji Mwinyi, Owen Chaima, Ame Ally, Six Mwasekaga, Athumani Idd Chuji na Cleofas Sospeter.

Singida United iko katika nafasi ya 19 ya msimamo wa ligi kwa pointi 11, ikiwa imeshuka dimbani mechi 16 na kushinda mechi mbili pekee, ikifungwa mechi tisa na droo tano. Ikumbukwe kuwa msimu huu zitashuka jumla ya timu sita za ligi kuu huku zikipanda timu mbili pekee, kwakuwa msimu ujao ligi kuu Tanzania Bara itahusisha timu 16.

 

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali