Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Whozu ajibu mapigo kwa Tunda, atoa kubwa kuliko

Saturday , 18th Jan , 2020

Baada ya kuwepo na taarifa za kuachana na mpenzi wake ambaye ni video vixen Tunda, msanii Whozu amesema hatamani kusikia chocote kuhusu Tunda, pia hampendi tena kilichobaki ni kumheshimu tu.

Kwenye picha ni Msanii Whozu, na video vixen Tunda

Whozu amesema hayo kupitia show ya "Friday Night Live" ya East Africa TV, kinachoruka siku ya Ijumaa kuanzia 9:00 kamili hadi 5:00 usiku, baada ya kuulizwa kinachoendelea kwa sasa kati yake na Tunda.

"Wao ndiyo wananiuliza kuhusu Tunda, mimi sitakagi kuongelea vitu hivyo, hata awepo na m-South Africa atajua mwenyewe, simpendi tena  namuheshimu tu, yeye yupo kwenye hizo kazi zake anazozifanya na huyo mtu wa Nigeria nafikiri watu wataelewa tu nini namaanisha, ila tupo poa tu hakuna kitu kinacholeta tofauti" ameeleza Whozu

Wiki iliyopita Tunda alimpost mwanaume mwingine kwenye mtandao wa Instagram aitwaye Otike ambaye ni raia wa Nigeria, kisha akaweka alama ya upendo na kuandika "povu ruksa".

Penzi la Whozu na Tunda limedumu kwa muda wa mwaka mmoja na miezi kadhaa, pia ndiyo mwanaume ambaye amekaa naye kwa muda mrefu kwenye historia ya watu aliokuwa nao kwenye mahusiano.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava