Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC agawa Mahindi kwa wananchi ili wajisajili NIDA

Monday , 20th Jan , 2020

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga Anamringi Macha, amesema kuwa aliamua kugawa Mahindi pamoja na Ndizi mbivu kwa wananchi wake, waliokuwa wamepanga foleni ya kupata namba za utambulisho wa Taifa kutoka NIDA kwa lengo la kuwafundisha uvumilivu na kutokata tamaa katika zoezi hilo.

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha

Akizungumza leo Januari 20, 2020, na EATV & EA Radio Digital, DC Macha amesema kuwa lengo lake kuu lilikuwa ni kuwafanya wananchi watulie sehemu moja ili kufanikisha adhma yao ya kupata namba hizo kwa ajili ya kusajili laini zao za simu.

"Niliona nigawe hayo Mahindi na Ndizi kwa sababu, walikuwa na njaa na nilifanya hivyo ili watulie kusubiri huduma na mimi ilikuwa ni kama motivation kwao na kuwafanya wajisikie tuko pamoja na wajifunze kuvumilia, naamini jana kupata kile kidogo kuliwafanya wawe wavumilivu" amesema DC Macha.

Kwa mujibu wa DC Macha amesema ndani ya Wilaya yake, suala la wananchi kujitokeza katika zoezi la kujiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha Taifa, umeonesha kufana kwa zaidi ya asilimia 80.

Zoezi la usajili wa laini za simu kwa kutumia alama ya Vidole, linahitimishwa leo Januari 20, na kwa wale ambao watakuwa hawajasajili laini zao zitafungwa na kwamba pia zoezi hilo ni endelevu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali