Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakandarasi wadai kufilisika kisa halmashauri

Tuesday , 21st Jan , 2020

Wafanyabiashara na wakandarasi wa ndani Mkoa wa Katavi wamezitupia lawama halmashauri za mkoa huo kwa kushindwa kuwalipa madeni yao wanayodai kwa mda mrefu, hali inayopelekea baadhi yao kufilisiwa.

Moja ya kifaa cha ujenzi

Wamesema kuwa hali hiyo imewafanya kufilisiwa na mabenki, kuuzwa nyumba zao kwa kushindwa kurejesha mikopo na wengine kufunga biashara zao kwa kukosa mitaji.

Hayo yamebainishwa hii leo, Januari 21 katika kikao ambacho kimeandaliwa na Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kusikiliza changamoto wanazokumbana nazo katika kazi hasa wanazofanya na serikali.

Lakini pia wakandarasi hao wamelalamikia kitendo cha mrundikano wa ushuru jambo ambalo linawakwamisha katika utendaji kazi wao wa kila siku.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa, Juma Homera ametoa siku saba kwa wakandarasi wanaodai fedha zao kufika ofisini kwake na hesabu kamili ya madai yake kila mmoja na halmashauri husika kuhakikisha zinalipa madeni hayo kwa haraka.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20