Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makonda apewa msaada wa Ndoo 500 za rangi 

Tuesday , 21st Jan , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amepokea msaada wa ndoo 500 za rangi kutoka Billion Paints kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa wanafunzi zaidi ya 5,000, walioshindwa kujiunga na kidato cha kwanza kutokana na uhaba wa madarasa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

Akizungumza leo Januari 21, 2020, Makonda amekishukuru kiwanda hicho kwa kuamua kuunga mkono juhudi za Serikali, katika uboreshaji wa sekta ya elimu nchini.

"Mchango huu ni muhimu kwa sababu, Rais wetu anatoa elimu bure na kwenye Mkoa wetu takribani watoto 5,970 katika wilaya moja tu ya Temeke, walikosa madarasa na sasa tupo kwenye ujenzi wa madarasa 381, hivyo tuwashukuru wazawa kwa kuitikia mwito wa elimu, ndoo 500 zitakuwa ni mchango mkubwa sana ambao hauwezi kusahaulika" amesema Makonda.

Waziri wa TAMISEMI Seleman Jafo, aliwaagiza Wakuu wa Mikoa wote nchini kuhakikisha hadi kufikia Februari 28, 2020, wahakikishe wamekamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa ili ifikapo Machi 1, watoto waliokosa masomo kutokana na uhaba wa vyumba vya madarasa, waanze masomo yao.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava