Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'NCCR Mageuzi tunakuja na K ya 4' - Mbatia

Wednesday , 19th Feb , 2020

Mbunge wa Vunjo kupitia Chama cha NCCR Mageuzi James Mbatia, amesema kuwa chama hicho kilipambana kuleta hoja mpya ya elimu ambayo kwa kiasi kikubwa ilifanikiwa na Serikali kupitisha hoja ya K tatu yaani Kusoma, Kuandika na Kuhesabu huku wakitaka kuongeza K ya nne.

Mbunge wa Vunjo kupitia NCCR Mageuzi, James Mbatia

Hayo ameyabainisha leo Februari 19, 2019, jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano wa Halmashauri Kuu ya chama hicho na kusema kuwa hoja yao ya msingi kwa sasa ni kuwa na ushirika wa pamoja wa kuwa na Katiba shirikishi kwa Watanzania wote.

"Sisi NCCR tulikuwa na hoja ya elimu tuliizungumza, tulipambana katika hoja siyo kwa ngumi kuhusu kurudishwa kwa K tatu, Kusoma, Kuandika na Kuhesabu, leo hii tunahoja ya kuwa na K ya nne ya kusikiliza, tuna udhaifu mkubwa sana wa kutokusikiliza msikilize mwenzako anasema nini na kuwa na mawazo shirikishi" amesema Mbatia.

Aidha Mbatia akizungumzia sula la kurudi CCM amesema kuwa hana mpango wowote wa kuvaa shati lenye rangi ya kijani, kwani kwa kufanya hivyo atakuwa amemsaliti mama yake mzazi aliyeasisi chama hicho.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja