Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafungwa 85 wapewa msamaha

Wednesday , 26th Feb , 2020

Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) Biswalo Mganga, amefanya ziara katika Gereza la Wilaya ya Manyoni mkoani Singida na kutoa msamaha pamoja na kuwafutia mashtaka mahabusu 85, ambao walikuwa wakikabiliwa na makosa mbalimbali.

Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP Biswalo Mganga

Msamaha huo ameutoa jana Februari 25, 2020 na kusema kuwa mahabusu wengi waliosamehewa makosa yao ni pamoja na wale wa makosa ya uhujumu uchumi, pamoja na wale waliokuwa wanaingia kwenye hifadhi kwa ajili ya kuchimba madini na kukata mbao.

"Baada ya kutafakari na kuangalia mazingira na maslahi ya nchi, nimeweza kufuta kesi za washtakiwa 85 waliokuwa wanakabiliwa na kesi mbalimbali" amesema DPP.

Hatua ya DPP ya kutoa msamaha kwa wafungwa walioko mahabusu ni mwendelezo wa utekelezaji wa agizo la Rais Magufuli la kuhakikisha mahabusu wanapungua katika Magereza.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP