Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya Yanga baada ya kuwasimamisha viongozi

Sunday , 29th Mar , 2020

Uongozi wa klabu ya Yanga umezungumza kufuatia barua rasmi ya kuwasimamisha baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Utendaji iliyotolewa Machi 27, 2020.

Makao Makuu ya Yanga

Kupitia kwa Afisa Habari wake, Hassan Bumbuli, Yanga imesema kuwa ni kweli kilichotokea kimeiathiri klabu na itatikisika lakini kila kitu kitakuwa sawa.

"Huu ni mtikisiko lakini ni kawaida kwa timu ya Wananchi kutokea kila kitu kitakuwa sawa na mipango inaendelea", amesema Bumbuli.

"Nadhani barua rasmi ilishatolewa na Kamati ya Utendaji, kwangu imepitia ili kuwafahamisha wanachama na mashabiki, kuhusu maelezo ya kwanini wamesimamishwa na kilichozandikwa kwenye barua ya majibu kwa GSM kamati ndiyo inafahamu", ameongeza.

Yanga iliwasimamisha viongozi wawili ndani ya klabu hiyo ambao ni Salim Rupia na Frank Kamugisha pamoja na kuridhia kujkiuzulu kwa wajumbe watatu ambao ni Rogers Gumbo, Shija Richard na Said Kambi.

Katika hatua nyingine, Kamati ya Utendaji ya Yanga iliandika barua ya majibu kwa kampuni ya GSM ambao ni wadhamini wa klabu hiyo, kufuatia kujitoa kuisaidia klabu kwenye masuala mbalimbali nje ya makubaliano ya kimkataba ikilalamikia kuwa baadhi ya viongozi wa klabu hawaridhishwi na jinsi wanavyofanya kazi za kiuongozi.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali