Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ukitaka kuoa lazima uwe na kazi" -Charles Nduku

Tuesday , 5th May , 2020

Mtaalam wa masuala ya biashara Charles Nduku, amesema kuwa mwanaume yeyote ambaye anataka kuoa ni lazima awe na kazi ambayo itamuwezesha kumudu gharama za maisha na kuisimamia vyema familia yake.

Mtaalam wa Masuala ya Biashara, Charles Nduku

Hayo ameyabainisha wakati akizungumza kwenye kipindi cha DADAZ cha EATV, kinachoruka kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa na kusema kuwa moja ya sababu inayofanya mwanaume ashindwe kumudu majukumu ya familia yake ni kutokufanya kazi hivyo ni vyema kutafuta kazi ambayo itaweza kumpa kipato.

"Hata Biblia inasema kwamba, ukitaka kuoa ni lazima uwe na kazi siyo uwe umeajiriwa ila ni wajibu wa wewe kutimiza majuku ya familia yako, kazi yoyote ambayo utakuwa unaifanya na kukuingizia kipato, ni lazima uzalishe na usipofanya hivyo lazima familia itakukimbia" amesema Charles Nduku.

Aidha Charles Nduku ameongeza kuwa wanaume huwa wanajisikia vizuri sana kuhudumia wanawake zao, hivyo mwanaume akiona mwanamke ndiyo anahudumia familia huwa anajisikia vibaya.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava