Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Young Killer afunguka kutomsaidia Baba yake

Wednesday , 13th May , 2020

Msanii wa HipHop hapa nchini Tanzania Young Killer, amenyoosha maelezo juu ya madai ya kutomsaidia Baba yake pia amefunguka kuhusu kupata mtoto wa kike mwishoni mwa mwaka 2019.

Msanii wa HipHop Young Killer

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital, wakati anajibu tuhuma za kutomsaidia mzazi wake huyo wa kiume Young Killer amesema,

"Baba yangu hawezi kuja kwenye vyombo vya habari na kuongea vitu kama hivyo, huyo hawezi kuwa mzee wangu, mimi natoa mahitaji kwa familia yangu sio kwa mzee tu yaani ukiwajumlisha wote kuanzia Baba, Mama na Dada, huyo mzee aliyesema hivyo itabidi amtafute mwanaye sio mimi" ameeleza Young Killer.

Aidha akizungumzia kupata mtoto na mipango ya kuingia kwenye ndoa msanii huyo amesema  "Nimepata mtoto wa kike na nilikuwa nataka mtoto mwenye jinsia hiyo, namshukuru Mungu nimefanikiwa, tutegemee chochote kwa sababu Mungu ndiyo mpangaji wa kila kitu na chochote kitakachotokea tutaishi nacho maana hatuifahamu kesho yetu lolote linaweza kutokea".

Mahojiano kamili tazama kwenye video hapa chini

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava