Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Darassa ataja kisa chake na Baba yake

Friday , 15th May , 2020

Kupitia kipindi cha SalamaNa kinachoruka East Africa TV, kila siku ya Alhamisi kuanzia 3:00 usiku, msanii Darassa amefunguka mambo mengi kuhusu maisha yake, familia,shule, muziki, life style pamoja na changamoto zote.

Msanii Darassa

Kuhusu maisha ya familia yake Darassa amesema  "Baba yangu amekuwa na maisha yake kwa uzuri tu si kwa ubaya, tangu nimekuwa ni mimi na mama yangu, jambo hilo limenijenga kuwa mwanajeshi na hata kwenye maisha yangu sina chakumlaumu baba maana yeye ame-play part yake, najua ananihitaji na naishi naye kama mwanaume mwenzangu japo sio marafiki".

Aidha kwenye changamoto za kutoka kimuziki amesema, ameshakutana na Dully Sykes, na msanii wa kwanza kuwa na namba yake kwenye simu alikuwa ni Mwana Fa.

"Ilala kulikuwa na Dully Sykes kipindi hicho natoka Kiwalani, alikuwa anakusanya watu wanaojua kuimba pale Misifas Camp, kuna siku aliniuliza mbona hajawahi kunisikia nikiongea na ameniona kwa muda mrefu, Pia nilikuwa naenda hadi East Coast kwa ajili ya kumfuata Mwana Fa tu, ndiyo mtu wa kwanza kuwa na namba yake kama msanii kwenye simu yangu".

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali