Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lulu kuhusu kuiba mwanaume "Nilihakikishiwa"

Friday , 22nd May , 2020

Staa wa filamu nchini Elizabeth Michael "Lulu", ameketi kwenye kipindi cha SalamaNa ya East Africa TV, ambapo amefunguka mambo mengi ikiwemo maisha yake, mahusiano, kazi na ile ishu iliyompeleka gerezani.

Staa wa filamu Elizabeth Michael "Lulu"

 

Kuhusu mahusiano yake Lulu amejibu  tuhuma za kuiba mwanaume aliyekuwa naye kwa sasa kutoka kwa mwanamke mwenziye ambapo amesema  "Mchumba wangu nimemfahamu miaka mingi kidogo wakati napenda sana club na yeye alikuwa Dj katika hiyo club, tulikuwa tuna urafiki, tunajuana na hata kwenye mahusiano kuanza haikuwa ngumu, japo nilimkuta ametoka kuwa kwenye mahusiano na nilihakikishiwa kwamba yameisha".

"Sasa hivi tupo kwenye miaka mitano au sita tangu tulivyoanza mahusiano, sidhani kama kutakuwa na kitu kibaya, kama ningemuiba basi ingepita mwaka mmoja halafu angerudi kwa mpenzi wake" ameongeza.

Usiache kutazama kipindi cha SalamaNa, kila siku ya Alhamisi kuanzia saa 3:00 usiku na marudio ni Ijumaa saa 8:00 mchana.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava