Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Maisha ni fumbo kama kilivyo kifo" - DC Jokate

Monday , 1st Jun , 2020

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo, amesema kuwa ile Tweet yake ya jana ya kwamba alipoteuliwa kwenye nafasi hiyo watu walimbeza na kumkejeli na kusema kuwa hilo halikuiwa dongo kwa mtu yeyote yule, bali alikuwa anajaribu kuelezea safari ya mwanadamu ilivyo fumbo kama kilivyo kifo.

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo.

DC Jokate ameyabainisha hayo leo Juni Mosi, 2020, wakati wa mazungumo maalum kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, na kusema kuwa maisha ya mwanadamu ni safari na hakuna anayeijua safari ya mwenzake na safari ikishaanza basi ni wachache sana ambao watakuunga mkono.

"Lile halikuwa dongo ilikuwa ni kuelezea safari ya mwanadamu, kwa sababu maisha ni fumbo, kama ilivyokuwa kifo, maisha ni safari na hakuna anayeijua safari ya mwenzake na kila hatua unayoipiga siyo kila mtu atakuunga wala kukutia moyo, unapoona hivyo siyo kwamba ufe moyo wewe songa mbele" amesema DC Jokate.

Jana kupitia ukurasa wake wa Twitter, mara baada ya Shule ya Sekondari ya Kisarawe kupewa jina lake aliandika hivi, "Nilipoteuliwa wapo walibeza na wengine kujaribu kunivua utu wangu, niliwaelewa lakini, Pwani wanasema Aso Mtu Ana Mungu, Namshukuru Mungu wangu kwa kunitetea. Mhe Waziri Jafo kamuelekeza DED kuisajili hii shule ya kihistoria Kisarawe na iitwe Jokate Mwegelo Girls Secondary School".

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya