Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Akamatwa kwa kubaka wanawake 40 ndani ya mji mmoja

Thursday , 11th Jun , 2020

Moja kati ya habari ambayo imetawala kwenye vyanzo mbalimbali vya habari nchini Nigeria, inaeleza kukamatwa kwa mwanaume mmoja ambaye anadaiwa kubaka wanawake 40 ndani ya mji mmoja kwa muda wa mwaka 1.

Mikono ikiashiria mtu amekamatwa na kushikiliwa na jeshi la polisi

Mtuhumiwa huyo amefikishwa kituo cha polisi cha mji wa Kano, ambapo mwanamke mmoja mkazi wa Dangora alimkuta amejificha katika chumba cha kulala watoto, kisha akataka kukimbia lakini alimuitia majirani ambao walimsaidia kumkamata na kumfikisha polisi.

Kiongozi wa Afisa Uhusiano wa Umma DSP Abdullahi Haruna amedhibitisha kupatikana kwa mtuhumiwa huyo kwa kusema  "Siku ya Jumanne polisi wamemkamata Muhammad Alfa mwenye miaka 32, wakati wa mahojiano mwanaume huyo alikiri kubaka wanawake zaidi ya 40 kwa mwaka kuanzia wasichana, wanawake walioolewa wazee pamoja na kushambulia watoto walio na umri chini ya miaka 10". 

Aidha Chifu wa mji huo Ahmadu Yau amesema kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo ni ishara ya maendeleo katika mji wao na watu wamefurahia na wanatumaini haki itatendeka dhidi yao.

Vyanzo : Pulse.ng , All Africa.com , Saharareporters.com , Guardian.ng , Daily Times.ng ,

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava