Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Afisa aliyekamata bangi milimani, ateuliwa na Rais

Monday , 6th Jul , 2020

Rais Magufuli amempandisha cheo aliyekuwa Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya nchini, Bw. James Kaji na kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo.

Rais Magufuli akimuapisha Kamishna James Kaji

Amefanya uteuzi huo leo, Ikulu Chamwino Jijini Dodoma alipokuwa akihutubia baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali wakiwemo Wakuu wa Mikoa, Katibu Tawala wa Mkoa pamoja na Wakuu wa Wilaya aliowateua hivi karibuni, ambapo amemuapisha afisa huyo kuanza kuitumikia kazi yake.

Rais Magufuli amesema amemteua Bw. James Kaji kutokana na kuridhishwa na kazi nzuri anayoifanya, baada ya kutembelea Wilayani Meru na kukamata magunia ya bangi na kuyateketeza.

"Jana nilikuona wa madawa unapita kwenye milima kule, unapita kwenye mji unakuta magunia ya bangi, IGP nataka Mkuu wa Polisi wa Meru aondolewe na Afisa Usalama wa wilaya hiyo naye aondolewe. Wewe Kamishna wa Madawa ya Kulevya leo mimi nakuthibitisha umefanya kazi nzuri. Nataka mambo yaonekane", amesema Rais Magfuli.

"Madawa ya Kulevya mpaka mtu atoke Dar es Salaam ndiyo akayaone wakati hapo kuna Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, OCD?. Kila mmoja afanye majukumu yake, najisikia raha kufanya kazi na watu wachapakazi", ameongeza.

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya