Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Alivyokuja nilipata hofu ya maisha"-Mwamy Mlangwa

Wednesday , 15th Jul , 2020

Mjasiriamali wa Kilimo Mwamy Mlangwa, amesema alipata wasiwasi na hofu ya maisha baada ya kuambiwa anataka kutembelewa na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Msemaji Mkuu wa Wanawake Maryam Kitosi na Mjasiriamali Mwamy Mlangwa

 

Akizungumza na Msemaji Mkuu wa Wanawake Maryam Kitosi, Mwamy Mlangwa ameeleza kuwa alivyotembelewa alipata hofu ya maisha kwa sababau kutembelewa na Rais sio jambo la kawaida.

"Kuna vitu ukikaa Duniani ukivifikiria unatamani vikutokee ila vikikutokea unapata wasiwasi,  siku alivyonitembelea sikuamini ila najua Mh Rais anapenda vitu vya kilimo na vya kimaendeleo, alivyokuja nilipata hofu ya maisha kwa sababu kutembelewa na Rais sio jambo la kawaida, nashukuru alivyoniona kwenye mitandao ya kijamii, pia aliniambia elimu na uzoefu ninayoitumia nisikae nacho peke yangu" amesema Mwamy Mlangwa

Aidha amesema mwaka huu amejipanga kutia nia kwenye nyanja ya uongozi kuanzia Ubunge wa Jimbo, Ubunge wa viti maalum au Udiwani,  "Mungu akinijaliia nitakuwa miongoni mwa watia nia mwaka huu, nitagombea nikichaguliwa sawa nisipochaguliwa pia sawa, naweza nikipata Udiwani, Ubunge wa Viti Maalum au Ubunge wa Jimbo".

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri