Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bei ya samaki yapaa

Monday , 20th Jul , 2020

Wafanyabiashara na wachuuzi wa samaki jijini Dar es Salaam wamesema kwa Sasa samaki wamepanda Bei kwa ndoo ndogo kutoka 15000 Hadi Elfu 50000 na elfu 30000 Hadi 90000 kwa ndoo kubwa.

Moja ya wachuuzi wa samaki Dar es Salaam

Wafanyabiashara na wachuuzi wa samaki jijini Dar es Salaam wamesema kwa Sasa samaki wamepanda Bei kwa ndoo ndogo kutoka 15000 Hadi  Elfu 50000 na elfu 30000 Hadi 90000 kwa ndoo kubwa.

Hii leo Eatv saa Moja imetembelea masoko kadhaa na kuzungumza na wamiliki wa vyombo vya Majini,wavuvi pamoja na wauzaji wa samaki ambao wameelezea jinsi Hali ilivyo kwa sasa.

Kwa upande wao kinamama ambao hufanya biashara hiyo jijini hapa wamesema changamoto ni kubwa mtaani ambako wateja Wanapata tabu kumudu Bei ya samaki.

Ni zaidi ya wiki moja Sasa Tangu Mamlaka ya Hali ya hewa itoe taarifa juu ya uwepo wa upepo Mkali kwa mikoa ya Lindi Mtwara na Dar es Salaam Hali inayopelekea changamoto kwa wavuvi baharini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava