Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hofu ya uwekezaji kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba

Monday , 20th Jul , 2020

Wadau na wafanyabiashara waliowekeza katika masoko ya mitaji na dhamana wameondolewa hofu kuhusiana na mwenendo wa masoko hayo katika kuelekea msimu wa uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.

Wadau na wafanyabiashara waliowekeza katika masoko ya mitaji na dhamana wameondolewa hofu kuhusiana na mwenendo wa masoko hayo katika kuelekea msimu wa uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.

Akizungumza katika mahojiano na EATV iliyotaka kufahamu athari za msimu huo katika uwekezaji Meneja Miradi na Maendeleo DSE Leonard Kameta amesema katika uzoefu wa vipindi vilivyopita ikiwemo msimu wa janga la Covid-19 athari zake zimeendelea kuwa chanya.

Amesema kutokana na usimamizi bora uliofanywa na Rais Dkt. John Magufuli katika sekta mbalimbali bado wawekezaji wa ndani na nje umeendelea kuwa imara wa biashara Tanzania na kuwahimiza wafanyabiashara kuweka mikakati bora ili kukua kiuchumi na kuongeza mapato.

“Serikali imefanya jitihada kubwa kama tulivyoona kipindi cha Corona kutofunga maeneo ya biashara na kutozuia mikusanyiko suala hilo limeleta athari chanya katika uchumi wa nchi ukilinganisha na mataifa mengine,imani yangu hata kipindi cha uchaguzi uchumi utaendelea kuimarika” alisisitiza Kameta

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20