Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli azungumzia hali ya Corona nchini

Monday , 20th Jul , 2020

Rais Dkt John Pombe Magufuli, amesema kuwa Tanzania imebaki kuwa nchi salama, kwa kuwa ilifanikiwa kutokomeza mbali maambukizi ya Virusi vya Corona baada ya kumtanguliza Mungu na ndiyo maana hata watalii wameendelea kumiminika nchini kwa kuwa wanao uhakika na usalama wa maisha yao.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo Julai 20, 2020, wakati akizungumza na viongozi aliowateua mara baada ya kula viapo Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma.

"Wizara ya Maliasili nimeanza kuona watalii wengi wanakuja, kuna ndege zinaleta watalii wengi, watu wameangalia na wameuona ukweli kwamba hapa Tanzania tuko salama, maadui zetu watazungumza mengi, hata hapa tungekuwa tumevaa barakoa, lakini hakuna aliyevaa hapa ni kwa sababu tuko salama kwani sisi hatuogopi kufa?, lakini Corona iko mbali huko, tuliamua kumuomba Mungu na akatusikia" amesema Rais Magufuli.

Viongozi waliopishwa hii leo ni pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Njombe, DC Ilala, Rombo, Maswa, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji. 
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya