Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alichoambiwa Ferouz wakati akipewa gari na Mkapa

Friday , 24th Jul , 2020

Msanii wa BongoFleva Ferouz ambaye alitunzwa gari aina ya Jeep mwaka 2005 na aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu Benjamin William Mkapa, amesema amepokea kwa masikitiko na huzuni kubwa taarifa za kifo cha Rais huyo.

Akizungumza na EATV & EA Radio Digital Ferouz ameeleza jinsi ambavyo Rais Mstaafu Benjamin Mkapa alivyompa gari na mchango wake kwenye muziki wa BongoFleva.

"Kifo cha Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa kimenihuzunisha sana, mtu ambaye alikuwa na mchango mkubwa kwangu na ukizingatia wimbo wangu wa starehe yeye ndiyo alifanya niuandike, alisema muziki wa BongoFleva unapendwa na kusikilizwa kwanini wasanii tusiimbe nyimbo zinazoelimisha jamii au afya"

"Akasema angependa wasanii waelimishe kuhusu janga la Ukimwi, kwahiyo maneno yake yakaniingia nikasema naweza nikafanya hicho kitu, nikaitoa na kuiandika vizuri ngoma ya starehe mwisho wa siku yeye mwenyewe akaupenda  ule wimbo ndiyo akanipa zawadi ya gari la Jeep mwaka 2005" ameongeza Ferouz

Bonyeza hapa kutazama Ferouz akimzungumzia Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin William Mkapa.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali