Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wajumbe ndiyo wakata Umeme" - Jike Shupa

Tuesday , 28th Jul , 2020

Video Vixen na mwanamitandao Zena Haji "Jike Shupa" amesema anagombea Udiwani Kwa Mpangale iliyopo Buza Wilaya ya Temeke kupitia CCM, na sasa hivi anasubiria majibu ya wajumbe ambao wapo kwenye mchakato wa kupiga kura japo anawahofia wasije kumkata.

Video Vixen na Mwanamitandao Jike Shupa

Jike Shupa amesema yupo serious na kugombea Udiwani huo na vipaumbele vyake ni kuwasaidia na kuwaelimisha wanawake kwenye Ujasiriamali wa kujitosheleza pia anaweza kuongoza watu.

"Nasubiria majibu ya Wajumbe wapo kwenye mchakato wa kupiga kura, nipo serious kugombea Udiwani wa Kwa Mpalange iliyopo Buza Temeke kuongoza watu naweza, nawahofia wajumbe maana wao ndiyo wakata umeme, wanachama wa CCM wapo 300 na tunaogombea tupo watano, watu wajiandae kunipokea hata sapoti naipata kutoka kwa watu maarufu na watu wangu wa karibu" amesema Jike Shupa 

Zaidi tazama kwenye video hapa chini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava