Msanii Baba Levo
Kupitia EATV & EA Radio Digital, baada ya kushinda kura za maoni Baba Levo ameeleza kuwa, atakayekuja kushindana naye bora aache kwani Kata ya Mwanga Kaskazini ni kata yake binafsi.
"Nashukuru chama changu cha ACT Wazalendo na Wajumbe kwa kunipa ridhaa na nafasi ya kuchukua fomu ya Udiwani, anayekuja kugombea Udiwani na mimi anatakiwa kujua kuna mwenyewe na Mwanga Kaskazini ni Kata yangu binafsi, waache kujisumbua na kupoteza pesa, tena bora hiyo pesa angeanzisha biashara hata ya vikoba kwa sababu kuniangusha haiwezekani" ameeleza Baba Levo.
Zaidi tazama mahojiano kamili hapa chini.