Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mdogo wake Kigwangalla aelezea safari yake kisiasa

Tuesday , 4th Aug , 2020

Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Jimbo la Bukene Lumola Kahumbi, aliyejitambulisha kama mdogo wake na Waziri Kigwangalla amesema, amezunguka kwa siku 11 maeneo tofauti na kukutana na wananchi kwa ajili ya kuwahoji, ambapo wengi walitamani chama hicho kimteue Tundu Lissu kugombea Urais.

Kushoto ni Lumola Kahumbi na kulia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla.

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, ambapo Lumola amesema kuwa wananchi wengi hawawatambui wagombea wengine zaidi ya Lissu, kwa kuwa wanamuona ndiye anaendana kisiasa na mgombea wa nafasi ya Urais kupitia CCM Dkt Magufuli.

"Mimi ni mdogo wake Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt Kigwangalla, nilianza safari ya kuzunguka maeneo tofauti na nimefikia watu 1500, lengo lilikuwa ni kuwauliza wanachi wangetamani CHADEMA katika nafasi ya Urais wamsimamishe nani, ambapo kwa maoni yao walitamani awe Tundu Lissu, nguvu ya upinzani inahitajika sana katika kuyapata mageuzi katika nchi na  wananchi wengi hawawajui wagombea wengine zaidi ya Lissu na wanaona ndiye mtu pekee anayeweza kuendana na siasa za mgombea wa CCM", amesema Lumola.

Tazama video hapa chini
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya