Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Snura amjibu Shilole "Imeniumiza, namuachia Mungu"

Thursday , 6th Aug , 2020

Kufuatia tukio la Shilole kumsema kwenye Tamasha la Girl Power, msanii Snura amesema tukio hilo limemuuma ila amejikaza kwa kushukuru na kumuachia Mungun kumshukuru kwa kilichotokea ili isije kuwa nongwa.

Upande wa kushoto ni msanii Snura, kuli ni Shilole

Akifunguka kuhusu hilo kupitia EATV & EA Radio Digital, Snura amesema hana kinyongo na mtu yeyote na kilichotokea amechukulia kama changamoto japo imemuumiza.

"Nimekaa kimya na kumuachia Mungu maana itakuwa kama nongwa kuliendeleza ikiwa kama watoto wa kike kuongea masuala ya ugomvi muda wote, sina kinyongo na mtu yeyote kilichotokea ni changamoto katika maisha, namuachia mungu maana hakuna shari isiyo na kheri kwa hiyo nikiwekea kinyongo Mungu ananiondolea vizuri na baraka ambazo nilitakiwa nipate, wakati mwingine changamoto inaumiza lakini inakuwa haikukatishi tamaa" amesema Snura 

Shilole alimchana Snura mbele za watu kwenye tamasha la Girl Power baada ya kupigwa na Uchebe kwa kusema hakupendezwa na kauli za Snura baada ya kutokea kwa tukio hilo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava