Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahakama hazijapokwa mamlaka -Wakili Malata

Thursday , 6th Aug , 2020

Wakili Mkuu wa Serikali Gabriel Malata amesema kuwa Mahakama nchini hazijapokwa mamlaka ya kusikilza maombi ya dhamana kwa makosa ambayo yanaruhusu kutolewa dhamana.

Wakili Mkuu wa Serikali Gabriel Malata akisisitiza jambo wakati akizungumza na wa habari leo.

Wakili Mkuu wa Serikali Gabriel Malata amesema kuwa Mahakama nchini hazijapokwa mamlaka ya kusikilza maombi ya dhamana kwa makosa ambayo yanaruhusu kutolewa dhamana.

Amesema kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inatambua pia haki ya jamii kulindwa dhidi ya madhara yanayoweza kutokana na baadhi ya vitendo vinavyohusisha makosa ya jinai kama vile mauaji, utakajishaji fedha, ugaidi na usafirishaji na uuzaji wa dawa za kulevya.

Akizungumza na vyombo vya habari Wakili Mkuu wa Serikali Gabriel Malata amesema kuwa kesi iliyofunguliwa na Bwana Dickson Sanga dhidi ya serikali ilishindwa kihalali kwani lazima jamii pia ilindwe ili kulinda Afya, Ustawi wa Jamii na kukuza uchumi.

Jana Agosti 5, 2020 Mahakama ya Rufaa ya Tanzania ilitoa uamuzi wa Rufaa Na. 175/2020 iliyokatwa na serikali dhidi ya Dickson Paul Sanga kufuatia uamuzi wa Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu mwenendo wa mashauri ya jinai kinachozuia dhamana kwa baadhi ya makosa makubwa ya jinai.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali