Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maryam Kitosi kuwaongezea thamani mama lishe

Friday , 7th Aug , 2020

Msemaji Mkuu wa wanawake kutoka East Africa Television na East Africa Radio Maryam Kitosi, leo Agosti 7 katika kipindi cha MamaMia kinachoruka East Africa Radio Jumatatu hadi Ijumaa Saa 10:00 Asubuhi hadi 12:00 mchana, ametoa wito kwa mama lishe kuwa na dhamira ya maendeleo.

Maryam Kitosi

Maryam Kitosi amesema anataka kuwaongezea mama lishe thamani yao kupitia kampeni  ya Simama Na Mimi, inayoendeshwa na East Africa Radio, ambapo amewasihi mama lishe kutumia lugha nzuri na kuboresha mazingira ya kufanyia biashara hiyo ili kumvutia mlaji.

Pia ameongelea suala zima la afya ya Uzazi ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji, ambapo ameshirikiana na mtaalamu Kutoka Tiba na Lishe na kutoa elimu ya namna ambavyo mama anatakiwa kunyonyesha.

“Inashauriwa ndani ya saa moja baada ya mama kujifungua mtoto aanze kunyonya ndani ya muda wa miezi sita na ndipo apewe chakula kingine kama nyongeza hadi atakapotimmiza miaka miwili, kunyonyesha kunajenga mahusiano mazuri katika ya mama na mtoto na inaongeza upendo kati yao’’, amesema mtaalamu kutoka Tiba na lishe.

Pia Kinara huyo alihitimisha kwa kusema wanawake wazingatie miongozo ya afya katika unyonyeshaji ili kujilinda na saratani ya matiti.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava