Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TAKUKURU yakamilisha agizo la Rais Magufuli

Saturday , 8th Aug , 2020

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), imekamilisha uchunguzi wake na kugundua kuwapo ubadhirifu na migongano ya kimaslahi baada ya tume iliyoundwa na Brigedia Jenerali John Mbungo kuchunguza ujenzi wa majengo Saba ya ofisi za taasisi hiyo katika wilaya Saba kukamilika

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Brigedia Jenerali John Mbungo

Hayo yamesemwa Brigedia Jenerali Mbungo  katika ofisi mpya za Takukuru zilizopo Mpwapwa ambapo amesema kuwa wahusika wote watachukuliwa hatua ikiwamo kufikishwa mahakamani.

Hayo yanajiri baada ya Rais John Magufuli kugundua kuwa si kweli kuwa shilingi milioni 143 zimetumika kujenga ofi si ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa wakati akifungua ofisi za Chamwino Julai 23. 

Baada ya siku kadhaa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Brigedia Jenerali John Mbungo aliwasimamisha watumishi wa taasisi hiyo  ili kupisha uchunguzi na aliwataja waliosimamishwa kuwa ni Jarudi Nyakongeza na Adam Mandia.

Wengine ni Fortunatus Ngailo, Mohamed Kichewele, Nathaniel Otieno, Wilhelm Chuwa, Hamisi Masoud, Mbwana Malumbo na Benedict Mabula.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava