Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafahamu wateule wa Rais Magufuli hii leo

Sunday , 9th Aug , 2020

Rais Magufuli amemteua Ngw'ilabuzu Ludigija kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala akichukua nafasi ya Mussa Chogelo ambaye amepangiwa kazi nyingine kwenye ofisi ya Rais, kabla ya uteuzi huo Ludigija alikuwa ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Uteuzi huo umefanyika hii leo Agosti 9, 2020, na tarifa hiyo kutolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa, ambapo pia Rais Magufuli amemhamisha kituo cha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mpimbwe mkoani Katavi Erasto Kiwale, ambaye atakwenda kuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni.

Aidha Rais Magufuli amemteua Catherine Mashalla kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mpimbwe, ambapo kabla ya nafasi hiyo alikuwa ni Afisa Elimu wa Manispaa ya Kigamboni, ambapo uteuzi pamoja na uhamisho wa viongozi hao unaanza leo.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava