Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tambua wanawake hatari zaidi Duniani 

Friday , 11th Sep , 2020

Diane Downs mwanamke kutoka Marekani aliyetajwa kuwa miongoni mwa wanawake katili sana, tukio lake la kwanza la Mei 1983 ndilo lililoacha watu midomo wazi, inaelezwa kuwa alijaribu kuwaua watoto wake watatu wa kuwazaa, taarifa zinasema kuwa alifanikiwa kumuua mmoja huku akiwajeruhi vibaya.

Wanawake wanaodaiwa kuwa makatili zaidi.

watoto wawili waliobakia na hakusema sababu iliyokuwa na maana katika utetezi wake

Mwanamke mwingine ni Genene Jones kutoka nchini Marekani, mwenye kibali cha uuguzi katika Jimbo la Texas, uhatari wa mwanamke huyo unakuja pale ambapo alifanya mauaji ya vichanga zaidi ya sitini pamoja na watoto kadhaa chini ya uangalizi wake mnamo mwaka 1970 hadi 1980, inaelezwa kuwa mauaji aliyafanya kwa kuwachoma watoto hao sindano zenye dawa kali aina ya Heparin, na baadaye alikutwa na hatia hiyo na kuhukumiwa kifo.

Erna Petri ni mwanamke kutoka nchini Ujerumani alizaliwa 1920, miongoni mwa tukio la kinyama zaidi alilowahi kufanya ni kuchukua watoto sita waliokuwa njiani kutoka katika kambi ya Sobibo na kuwapeleka nyumbani kwake kisha kuwapa chakula, baada ya hapo aliwapeleka kwenye kichaka kilicho jirani ya nyumba yake na kuwapiga risasi.

Mwingine ni Johanna Altvater alizaliwa mwaka 1920, aliwahi kuwa katibu katika chama cha Nazil cha nchini Ujerumani, inaelezwa kuwa mwanamke huyo ukatili wake ulikuwa ukiwalenga zaidi watoto wa kiyahudi katika matukio yake ya kinyama, watoto walikuwa wakimuamini kutokana na kuwapa zawadi mbalimbali  na baadaye alikuwa akiwakusanya na kuwaua.

Nannie Doss kutoka Marekani alikuwa akifahamika kwa majina mengi miongoni mwa jina lililo muelezea zaidi ni jina la Black Widow, alikuwa ni hatari na aliolewa na wanaume wanne na wote aliwaua kutokana na sababu mbalimbali, baadaye ilibainika kuwa alihusika pia katika mauaji ya dada zake wawili, watoto wake wawili, mama yake mzazi pamoja na Mama mkwe wake na baadae alipatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha maisha gerezani mwaka 1954.

Watafiti wanasema kuwa ipo idadi kubwa ambayo haijabainika kuhusiana na wanawake makatili zaidi Duniani .

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya