Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakazi wa Ulongoni walia na Daraja

Friday , 18th Sep , 2020

Wakazi wa Ulongoni A na B Jijini Dar es Salaam, wamewahimiza wakandarasi kuongeza juhudi ili ujenzi daraja linalounganisha maeneo hayo ukamilike ndani ya Muda uliopangwa ili kupunguza kero walizokuwa wakizipata katika nyakati za Mvua.

Muonekano wa daraja la Ulongoni.

Akizungumzia kero ya daraja hilo Mwenyekiti wa Mtaa wa Ulongoni A, Abdulahim Munis amesema kuwa daraja hilo limekuwa kero katika kipindi cha mvua hadi kupelekea watu kupoteza maisha na wengine hupoteza makazi kutokana na mto huo kuongezeka upana kila wakati.

"Ujenzi tunaomba ukamilike kwa wakati, maana adha tunayopata wakati wa mvua imekuwa ya muda mrefu ambayo hupelekea kupoteza mawasiliano kati ya wakati wa upande mmoja na mwingine na wengi wetu hukimbia makazi yao kutokana na maji kupasua kingo za mto", amesema Munis

Kwa upande wao Wakala wa Barabara Vijijini na Mijiji(TARURA) kupitia kwa mratibu wake wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhandisi Geofrey Mkinga amesema kuwa ujenzi wa daraja hilo umekuwa ukisua sua kutokana na mto huo kuongezeka kila wakati hivyo katika kipindi hiki wamepata mwarobaini wa mto huo ambapo daraja litakamilika kwa wakati na kwa kiwango stahiki.

Ujenzi wa Daraja la Ulongoni A lililopo Kata ya Gongolamboto, ujenzi wake unagharimu Shilingi Bilioni 4.3 pamoja na Ujenzi wa Daraja la Ulongoni B.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja