Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Samia aeleza haya mkutano wa sekta binafsi

Sunday , 18th Oct , 2020

Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu, ametaja sababu Rais Dkt.John Pombe Magufuli kutokuudhuria mkutano wa sekta binafsi uliobeba lengo la kumpongeza kwa mafanikio yaliyopatikana ndani ya miaka mitano.

Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu

Akizungumza na wananchi waliodhuria mkutano huo leo, Oktoba 18, Mama Samia amesema kuwa yupo kwa ajili yakumuwakilisha Rais Magufuli, ambaye amefanya kazi kubwa sana ya kuzunguka nchi nzima  na kuongea na wananchi.

 

“Niko hapa kwa niaba ya Mhe.Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambaye alitaka sana kuwa nanyi leo lakini kama mnavyojua tumefanya kazi kubwa yakuzunguka nchi tumeongea sana ameongea sana Dar es salaam, kwa kweli mpaka ananipigia simu nikamwambia Mheshimiwa pumzika mimi naenda" alisema Mama Samia

 

“Najua hivyo yuko ofisini anaendelea na kazi kwa hiyo nipo hapa kwa ajili yake na nitasema yale ambayo angekuwepo angesema na nitapokea yale ambayo mmeniambia niyabebe nimpelekee bila kuongeza wala kupunguza" aliongeza Mama Samia

 

Leo sekta binafsi imefanya makutano kwa ajili ya kumpongeza Rais Dkt.John Magufuli kwa mafinikio yaliyopatikana chini ya uongozi wake kwa muda wa miaka mitano huku Mama Samia Suluhu, akiwa mgeni rasmi akimuwakilisha Rais Magufuli.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP