Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama auza gari yake kisa kununua maua

Tuesday , 24th Nov , 2020

Kupitia show ya DADAZ ya East Africa TV mshauri wa utunzaji maua na bustani Hawa Mniga amesema anapenda sana maua hali iliyopelekea hadi kuuza gari yake aina ya Spacio kwa milioni 5 ili kununua maua aweke nyumbani kwake.

Picha kubwa ni bustani ya maua, picha ndogo ni gari aina ya Spacio

"Tangu mdogo nilikuwa napenda maua, nilikuwa na gari yangu ya Spacio nikaiuza kwa milioni 5 ila pesa yote nikaaingiza kwenye garden, hicho kitu ndiyo kikanituliza nyumbani na nitayapanda mpaka nizeeke" amesema Hawa Mniga 

Aidha akaendelea kusema "Mimi siuzi maua ila napenda kuona nyumba yangu ikiwa hivyo, uzuri wake yanazaa unaweza ukanunua ua moja kwa shilingi elfu sabini ila baada ya miezi kama saba linatoa watoto, kwa hiyo wale watoto utawauza kutokana na size kuna ya elfu 30 au elfu 25".

Show hiyo ya DADAZ huruka hewani kupitia East Africa TV kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 5:00 Asubuhi hadi 6:00 Mchana ambapo huwa kuna wageni mbalimbali kama watu wa taaluma, lifestyle, familia, mahusiano na burudani.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava