Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama auza gari yake kisa kununua maua

Tuesday , 24th Nov , 2020

Kupitia show ya DADAZ ya East Africa TV mshauri wa utunzaji maua na bustani Hawa Mniga amesema anapenda sana maua hali iliyopelekea hadi kuuza gari yake aina ya Spacio kwa milioni 5 ili kununua maua aweke nyumbani kwake.

Picha kubwa ni bustani ya maua, picha ndogo ni gari aina ya Spacio

"Tangu mdogo nilikuwa napenda maua, nilikuwa na gari yangu ya Spacio nikaiuza kwa milioni 5 ila pesa yote nikaaingiza kwenye garden, hicho kitu ndiyo kikanituliza nyumbani na nitayapanda mpaka nizeeke" amesema Hawa Mniga 

Aidha akaendelea kusema "Mimi siuzi maua ila napenda kuona nyumba yangu ikiwa hivyo, uzuri wake yanazaa unaweza ukanunua ua moja kwa shilingi elfu sabini ila baada ya miezi kama saba linatoa watoto, kwa hiyo wale watoto utawauza kutokana na size kuna ya elfu 30 au elfu 25".

Show hiyo ya DADAZ huruka hewani kupitia East Africa TV kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 5:00 Asubuhi hadi 6:00 Mchana ambapo huwa kuna wageni mbalimbali kama watu wa taaluma, lifestyle, familia, mahusiano na burudani.

 

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP