Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Elimu kwa watoto kupunguza maambukizi ya UKIMWI

Tuesday , 1st Dec , 2020

Katika kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani uwepo wa mitaala itakayosaidia utaoaji wa elimu ya uzazi kwa watoto umetajwa kuwa utasaidia katika kupunguza maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI nchini.

Mwalimu akielezea jambo wanafunzi (Picha kutoka mtandaoni).

Hayo yamesemwa na Afisa Sheria, Kutoka Chama cha Wanasheria Wanawake nchini (TAWLA), Joseph Oguda, akiwa katika kipindi cha Supa Breakfast ambapo amesema  kwa mujibu ya utafiti wa TAKUKURU ongezeko la maambukizi mapya ya virusi hivi yamechangiwa na rushwa ya ngono iliyosheheni vyuoni.

“Mtaala wetu wa elimu haujahusisha mtaala wa elimu ya uzazi ambapo watoto walitakiwa wapewe elimu ya uzazi kuwajengea msingi na ili kuweza kujiepusha na athari ukatili wa ngono , elimu zinatolewa na asasi kila siku lakini bado kuna chanagmoto ya utayari wa jamii inayopewa hiyo elimu” amesema Oguda

Aidha Oguda ameweka wazi kuwa bado kuna changomoto kwa upande wa vijijini na sehemu chache za majini kwa upande wa mila na desturi ambazo zinachangia katika kuongeza maambukizi ya virusi hivi.

“Umaskini unachangia watu kujihusisha na ngono, kwa maeneo ya Pwani mila na desturi potofu zilizopitwa na wakati zimechangia maabukizi ipo imani kuwa ukifanya mapenzi na mtu ambaye hajafikisha miaka 18 unapona VVU , na kwa Tarime kuna mila msichana awezi kuwa msichana jasiri pasipo kukeketwa hivyo wanajiweka katika hatari ya kupata virusi vya Ukimwi” amesema Oguda

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya