Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanamke asimulia jinsi harusi ilivyompa UKIMWI

Saturday , 5th Dec , 2020

Veronica Lyimo ni mkazi wa jiji la Dar es Salaam, ambapo ameitaja siku ya harusi ya rafiki yake kubadili historia ya maisha yake, baada ya kujikuta akishiriki tendo la ndoa na mpenzi wake wa siku nyingi bila kutumia kinga na ndipo alipojikuta amepata maambukizi.

Veronica Lyimo, anayeishi na Virusi vya Ukimwi

Veronica amesimulia hadithi yake hiyo kwenye kipindi cha MamaMia kinachoruka kila siku za jumatatu hadi Ijumaa kupitia East Africa Radio, ambapo ameeleza kuwa mara ya kwanza kupima UKIMWI ilikuwa mwaka 2015, ambapo vipimo vya awali vilikuwa tata na ndipo alipoamua kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili na ndipo alipoambiwa kuwa tayari ni mwathirika wa VVU.

Veronica anasema kuwa mara baada ya kupokea majibu hayo, alimua kumshirikisha mpenzi wake, lakini mpenzi wake huyo majibu hayo hayakumshangaza kwa kuwa yeye alikuwa akifahamu toka awali kuwa anayo maambukizi.

"Nilipomwambia mpenzi wangu hakushtuka kabisa, kumbe yeye mwenzangu alikuwa anaijua hali yake ya awali kuwa alikuwa na maambukizi, baada ya kupata hayo majibu nililazwa wodi ya vichaa kwa miezi mitatu kwa sababu nilipata sonona, baada ya kutoka mjomba wangu akanichukua na kunipa ushauri nasaha na kunikutanisha na club za vijana wanaoishi na maambukizi", amesimulia Veronica.

Tazama video hapa chini

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava