Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ukimwi hauna nguvu kwa Kristo" - Nabii Tito

Tuesday , 15th Dec , 2020

Mtumishi wa Mungu Nabii Tito amesema kwa sasa yupo katika kampeni nzito inayoitwa hatua ya kwenda mbinguni na kampeni hiyo ipo kwa ajili ya kupinga vita mitume na manabii matapeli.

Picha ya Nabii Tito

Nabii Tito amesema atawataja mitume na manabii hao kwa Serikali ili iwashughulikie kwani wanatumia dini kuwapigia watu na sio kuhubiri kuhusu kuacha dhambi.

"Baada ya kumaliza kampeni ya chama na kufanya nchi iwe ya kijani, sasa hivi nipo katika kampeni kali sana inayoitwa hatua ya kwenda mbinguni, hiyo ni kampeni ya kupinga vita mitume na manabii matapeli

"Sitaki kabisa kuzungumzia mambo mengine zaidi ya kupiga vita matapeli,  wanatumia dini kuwapiga watu na kuuza vitu, nataka niwataje wote ili Serikali ya kijani iwashughulikie maana hawahubiri watu waache dhambi bali wanahubiri ili wapate vitu" ameeleza Nabii Tito 

Aidha amesema yupo katika harakati za watu waache dhambi ili magonjwa yote yakimbie, pia amewataka vijana waokoke kwani ukimwi kwa Kristo hauna nguvu na takwimu zimeongezeka kwa sababu watenda dhambi wameongezeka.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP