Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rose Ndauka adaiwa mapacha wawili na mumewe

Wednesday , 6th Jan , 2021

Mume wa msanii wa filamu Rose Ndauka, Haffiyy Mkongwa amesema bado anamdai mkewe huyo watoto wengine wawili tena atafurahi kama ikiwezekana wawe mapacha ili waweze kumaliza kwa haraka.

Rose Ndauka, Mumewe Haffiyy na mtoto wao

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital, mumewe huyo amesema kwa sasa tayari wamepata mtoto mmoja na Rose Ndauka hivyo anasubiria mpaka atakapofikisha miaka miwili ndiyo wataongeza wengine.

"Tunashauriwa na Serikali na vyombo vingine mbalimbali vya kiafya kwamba mtoto afikishe angalau miaka miwili ndiyo muweze kupata mwingine ila binafsi nitangoja mpaka akue kabisa na kujitambua, nataka watoto wengine wawili na ikiwezekana wawe mapacha ili tuweze kumaliza kwa haraka" amesema Haffiyy Mkongwa

Haffiyy Mkongwa na Rose Ndauka wamefahamiana kipindi cha miaka mitano iliyopita na wamefunga ndoa mwaka 2020 na tayari wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kiume aitwaye Prince Haleem.

Bonyeza hapa kutazama Interview kamili 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali