Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mpaka siku naondoka nitakuwa sijamlipa"- Goodluck

Saturday , 16th Jan , 2021

Mwimbaji wa muziki wa injili, Goodluck Gozbert, amesema kuwa yeye anaamini kwamba hadi pale atakapofikia wakati wa kuondoka duniani, atakuwa hajafanya kitu chochote ambacho kinatosheleza yale mema yote aliyofanyiwa na mama yake.

Mwimbaji wa muziki wa injili, Goodluck Gozbert

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza kwenye kipindi cha DADAZ cha East Africa Television, na kuwasihi wale wote ambao mama zao wapo basi wahakikishe wanatenga muda kwa ajili ya mama zao, kama ambavyo MC Pilipili alivyokuwa akijitahidi kumpa muda mama yake.

"Mpaka siku naondoka Duniani nitakuwa sijaweza kumlipa kitu mama yangu, kuna wakati huwa namuomba Mungu angalau nipate muda wa kutoka na kutembea na mama, Mungu amlaze mahali pema Mama wa MC Pilipili, kwani alijitahidi kumpa muda, huwezi kumlipa mama eti kwa kusema umjengee nyumba eti ndiyo vitarudisha vitu ambavyo aliwahi kufanya", amesema Goodluck.

Aidha Goodluck ameongeza kuwa, "Kwa ambaye uko na mama na una muda unapata nafasi mtembelee sana mama, zungumza naye na cheka naye naamini ni vitu ambavyo huwezi kupata tena muda wa kuvifanya wakati ambapo siku zitakuwa zimesonga mbele".

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil