Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chelsea yamfuta kazi Frank Lampard

Monday , 25th Jan , 2021

Klabu ya Chelsea imemfuta kazi aliyekuwa kocha wake Frank Lampard kufuatia matokeo mabaya klabuni hapo hususani kwenye EPL kwa kupoteza michezo mitano, sare mbili na kupata ushindi kwenye michezo miwili pekee katika michezo kumi ya mwisho.

Aliyekuwa kocha wa Chelsea, Frank Lampard.

Uamuzi wa kumtimua kazi Lampard ambaye amedumu kwa miezi 18 umethibitishwa na mmiliki wa klabu hiyo Roman Abramovic ambaye amesema haukuwa uamuzi mrahisi kuufikia kutokana na urafiki wa karibu pamoja na heshima ya Lampard klabuni hapo.

Lampard alitangazwa kuifundisha Chelsea 4 Julai 2019 na kusaini kandarasi ya miaka 3 na kuwa kocha muingereza wa kwanza kuifundisha Chelsea baada ya takribani miaka 20 na kufanikiwa kumaliza kwenye nafasi 4 za juu pamoja na kucheza fainali ya FA.

Mbadala anayetajwa kuchukua mikoba ya Frank Lampard ni kocha Thomas Tuchel aliyekuwa kocha wa klabu ya PSG na kuwaongoza matajiri hao wa jiji la Paris kutwaa mataji mawili ya ligi kuu nchini Ufaransa na kucheza fainali ya klabu bingwa ulaya.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali