Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Alikuwa anaonesha matumaini ya kupona"- Zitto

Wednesday , 17th Feb , 2021

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema kuwa mapema leo asubuhi alifika katika hospitali ya Taifa Muhimbili kumjulia hali Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif na alikuta akiwa anaonesha matumaini ya kupata nafuu.

Kushoto ni Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na kulia ni Maalim Seif wakati wa uhai wake

Kauli hiyo ameitoa hii leo Februari 17, 2021, masaa kadhaa tu mara baada ya Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, kutangaza kifo cha kiongozi huyo wa serikali na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo kilichotokea katika hospitali ya Taifa Muhimbili.

"Kwa mujibu wa taarifa ya madaktari na leo asubuhi nilikuwa hospitalini na nilionana na jopo la madaktari waliokuwa wanamhudumia Maalim Seif na kwa hakika alikuwa anaonesha matumaini ya kupata nafuu lakini ilipofika majira ya saa 5:29 asubuhi akawa amerudi kwa muumba wake", amezungumza Zitto Kabwe.

Aidha Zitto ameongeza kuwa, "Taarifa za mipango ya mazishi tutazitoa kwa umma baada ya mashauriano na masuala yake ya mazishi yanashughulikiwa kwa mujibu wa sheria na sisi kama chama tutatoa ushirikiano wote kwa serikali ili kuhakikisha kwamba tunamstiri mzee wetu kwa heshima anayostahili".

Maalim Seif amezaliwa Oktoba 22, 1943, na alikula kiapo cha kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Desemba 8, 2020, 

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP