Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara ya Afya yasisitiza kuchukua tahadhari

Sunday , 21st Feb , 2021

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewashukuru Watanzania wote kwa kutekeleza agizo la Rais Dk. John Magufuli la maombi ya siku tatu kuliombea taifa dhidi ya janga la corona, na imewasisitizia Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa mbalimbali.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia , Wazee na Watoto Bw. Gerard Julius Chami

Agizo hilo lililotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli kuanzia tarehe 19/02/2021, siku ya Ijumaa alipokuwa kwenye ibada ya kuuga mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ambapo aliwataka Watanzania kutokuwa na hofu na kumtegemea Mungu.

Taarifa ya Wizara ya Afya iliyotolewa leo kupitia ukurasa wao imepongeza madhehebu yote, viongozi wa dini na wadau mbalimbali kwa kutekeleza maombi hayo kwa moyo wa dhati na kutoa rai kwa Watanzania kuendelea kumuomba Mungu na kuchukua tahadhari za afya na kufuata ushauri unaotolewa na wataalamu wa afya.

Aidha, Wizara imewasisitizia wananchi kuzingatia tahadhari zote ikiwemo, unawaji wa mikono mara kwa mara kwa kutumia maji tiririka, kutumia vipukusi (sanitizer), kufanya mazoezi, lishe bora, uvaaji wa barakoa sambamba na kuwalinda wazee na wale wenye magonjwa ya muda mrefu.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya