Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Dk. Mpango alivyotoa chozi leo

Tuesday , 23rd Feb , 2021

Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Philip Mpango, leo ametoa machozi wakati akikumbuka ndugu, rafiki na viongozi wenzake waliotangulia mbele za haki akiwemo Mhandisi Atashasta Nditiye na Prof. Benno Ndulu pamoja na Balozi John Kijazi.

Waziri wa Fedha na Mipango (katikati), Dkt. Philip Mpango,na pembeni yake ni madaktari wa hospitali ya Benjamin Mkapa waliokuwa wakimhudumia

Hayo yamejiri hii leo Februari 23, 2021, Jijini Dodoma, wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya madaktari wa hospitali ya Benjamin Mkapa, kujiridhisha kwamba afya yake imeimarika na anaweza kuendelea na majukumu ya kulijenga taifa.

"Nimekaa hapa nikihudumiwa na hapa peke yake ni zaidi ya siku 10 na nilikuja na mtungi kabisa wa Oksijeni na leo ni siku ya tatu sijagusa kabisa mtungi wa Oksijeni kwa kweli nataka niwaambie Watanzania afya yangu imeimarika,” alisema Waziri Dk. Mpango.

Aidha Waziri Dk. Mpango ameongeza kuwa "Acheni Mungu aitwe Mungu tuendelee kumtukuza na kumuomba yeye ndio muweza wa yote namshukuru sana kwa huruma yake najua ananipa nafasi ya kuendelea kuitumikia nchi kwa nafasi ya pekee sana napenda kumshukuru Rais Dk. John Magufuli na familia yake nitasema tu ukweli hakuna siku ambayo Mh. Rais hakunipigia simu si mara moja si mara mbili".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava