Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wanaotukosoa kwa staha hatuwachukii"- Magufuli

Thursday , 25th Feb , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, amesema kuwa serikali haichukii watu wanaoipa changamoto na wanaokosoa kwa staha na kuwataka Watanzania watangulize uzalendo kwani si kila kitu cha kuweka mitandaoni.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli

Rais Dk. Magufuli ametoa kauli hiyo leo Februari 25, 2021, wakati akizungumza katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika soko la kisasa la Kisutu pamoja na kuzindua jengo la Jitegemee na studio za Africa Magic Group Limited.

"Serikali haichukii wanaotupa changamoto na kukosoa kwa staha, kitakwimu tumeruhusu vyombo vingi sana vya habari katika kipindi hiki kuliko wakati wowote tangu tupate uhuru, sasa tuna vituo vya Radio 193 na vya TV vipo 46," amesema Rais Dk. Magufuli.

"Nitoe wito kwa wanahabari na Watanzania, vyombo tunavihitaji na habari tunazihitaji lakini tutangulize uzalendo na haki ya yule anayeandikiwa habari, pamekuwa na habari nyingi za uzushi mara fulani kafa mara vigogo wapukutika ni mambo ya ajabu," ameongeza kusema Rais Dk. Magufuli.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP