Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC Mghwira asimulia alivyodharauliwa 

Wednesday , 7th Apr , 2021

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira amesema tangu kuchaguliwa kuwa mkuu wa mkoa huo ameshakutana na hali ya kudharauliwa kutokana na yeye kuwa mwanamke ndani ya uongozi.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira

Akizungumza katika kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio RC Mghirwa amebainisha kilichotokea katika kikao chake cha kwanza akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanajaro na adhaa aliyokutana nayo.

"Kikao changu cha kwanza  tangu siku tatu nimeingia nikiwa RC Kilimanajario, mjumbe mmoja kiongozi mwanaume akasimama akaniambia, mimi siwezi kukupa wewe mawazo yangu kwa sababu wewe si wachama changu, Nikamwambia huu si mkutano wa chama wala mimi sio Mwenyekiti wa chama na hapa ni serikalini, hii imetokea mara nyingi mwingine siku moja aliniambia utanitambua leo lakini mimi ukinidharau huwa hainusumbui," alisema RC Mghwira.

Akielezea kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu, iliyosema kuwa macho yake yanaona, amesema kwenye uumbaji Mungu alimpa mwanamke fikra au macho ya ndani ambayo yana umuhimu kwenye uongozi.

"Hayo macho aliyokuwa anayasema sio haya magoroli tulionayao ni yale macho ya ndani, macho ya utambuzi, macho ya nafasi, hayo macho ya nafasi wanayo wanawake zaidi wanaume kidogo, wanawake tuyatumie vizuri yatasaidia jamii," alisema RC Mghwira.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya