Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Chidi Benz alinyea kambi" - Prof Jay

Thursday , 15th Apr , 2021

Mbunge nje ya Bunge na msanii wa mkongwe wa muziki wa HipHop hapa nchini Prof Jay ameshea stori ya kile kilichotokea kati yake na Chidi Benz ambapo stori zilizotoka zilidai kwamba Prof Jay amepigwa na Chidi Benz.

Msanii Prof Jay akiwa kwenye studio za East Africa Radio

Prof Jay amekanusha stori hizo kwa kusema hakupigwa na Chidi Benz bali alisukumizwa mbele ya watu wake hali ambayo kama angesema arudishe basi Chidi Benzi angetoboka kama neti, pia Prof Jay amesema kitendo hicho alichofanya Chidi Benz ilikuwa kama amenyea kambi.

"Chidi Benz ni mdogo wangu kabisa, nimemtengeneza na alikuwa backstage wangu, aliletwa kwangu na Black Rhyno ila watu walimlisha madini hivyo akanyea kambi, hakunipiga ila alini-push kwenye mazingira magumu sana, nilikuwa na watu wangu kama ningesema wan'gate basi angekuwa na matobo kama neti, Chidi hawezi kunipiga hata tukiweka goma mbili" ameeleza Prof Jay

Kwa sasa Prof Jay amerudi rasmi kwenye muziki baada ya kipindi kirefu ambacho alikuwa anatumikia kazi ya wananchi wake wa Jimbo la Mikumi alipokuwa Mbunge.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava